Palikuwaga Bibii umoja 'na watoto wake
Waine alafu nyuma yanyubayake palikuwañga mze mcawu alikuwa
Hapendi wale watoto waine
Ss siku moja mtoto wa mwisho alikuwa
anacheza mpira wamiguni
Ss kwa bati mbaya ukaenda
Kwaule upango wa ulemze
Ss sebu akaenda kwailenyumba
Yaule mzee sebu aliona jizalirefu akikutana
Nabiti umojaa akafuguliya mlango
Sebu akamwabiya nisaidie ule mpira wangu
Kalekadem kaka mwabiya igiya ucukuwe mpira wako sebu akayigiya kuleta mpira wake sebu aliona britu abayo ajaonaga anatamani asitoke lakini uledem amitokeya kumpenda sebu ss ulemze akanwabiya ule kijana ni nani akamwabiya.... Ni mpenzi wangu ss sebu anafika nyumbani akamuadisiya bibi yake bibi akamwabiya usipimi tena kuigiya kwauleupago yaniusinisabiyi siko bibi yako toka hapa
Sebu akaenda
Kulala Ss kweyedoto
Akabaki anakubuka ilenyumaba
Naulebiti
Midayausubuyi akalamka akasema
Acaniede kwailenyumba akafika pake
Akagoga mlango ukajifuguwa nakwabele
Akamu ona ulebiti
Sebu akasogeya akamuliza junaloko
Nani (mimi):naitwa Mwana:naweye unaitwa nani;sebu ok ikafikakipindi kila siku Mwana
'na sebu wanakutana wanaongeya siku moja sebu akamwabiya Mwana mimi
Nimetokea kukupenda Mwana akamwabiya sebu tunaweza kupenda lakini babu yangu akibrijuwa atakuwa :sebu wapi awezikuniuwa :mwana akawaza akamwabiya subiri akamleteya
Mayayi matatu iyiapajo kinga yako: sebu akasema saw ss ulikubali tu kuwe namausiyani:mwana akakubali :.....
Siku moja mzee anafufuka aliwakutana
:sebu na mwana wako wanapigana mabezu :mzee alisikiya hasira maramoja akawapa usingizi wa mwaka elfu moja wa kalala fofofo .....S2 inaitwa kiddy of love